Friday 26 April 2013

SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR !!!


Ndege za kivita zikiwa hewani zikifanya shoo katika sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ndege hizi ni za Muungano wa Tananyika na Zanzibar, Wazanzibar tukivunja Muungano tunagawana nusu kwa nusu ,hakuna mkumbwa wala mdogo ,viongozi hilo lazima mlijuwee, nawakilisha

No comments:

Post a Comment