"Nyaraka hizo zina habari za siri za hali ya juu, ikiwa ni pamoja na
ripoti za kiintelijensia, mawasiliano ya ndani, maelezo kwa urefu kuhusu
operesheni zilizopangwa na mambo mengine ya siri," ofisi ya habari ya
al-Shabaab ilisema katika taarifa iliyotolewa tarehe 3 Aprili kupitia Twitter.
ripoti za kiintelijensia, mawasiliano ya ndani, maelezo kwa urefu kuhusu
operesheni zilizopangwa na mambo mengine ya siri," ofisi ya habari ya
al-Shabaab ilisema katika taarifa iliyotolewa tarehe 3 Aprili kupitia Twitter.
Kikundi kilidai kuwa baadhi ya nyaraka zilizotoa ni pamoja na barua kutoka
kwa "utawala wa Kiarabu wenye ushawishi" kwa raisi wa Somalia
unaomwambia kuwa "ateue watu fulani kwa nafsi maalum ndani ya serikali
yake ili kurahisisha mashirikiano mazuri na kubadilishana habari za
kiintelijensia baina ya nchi hizo mbili".
kwa "utawala wa Kiarabu wenye ushawishi" kwa raisi wa Somalia
unaomwambia kuwa "ateue watu fulani kwa nafsi maalum ndani ya serikali
yake ili kurahisisha mashirikiano mazuri na kubadilishana habari za
kiintelijensia baina ya nchi hizo mbili".
"Tutachapisha baadhi ya nyaraka katika Twitter ndani ya saa zijazo na
nyingine tutazichapisha itakapoonekana inafaa, Mungu Akipenda,"
taarifa hiyo ilisema.
nyingine tutazichapisha itakapoonekana inafaa, Mungu Akipenda,"
taarifa hiyo ilisema.
Takriban wiki moja baadaye, bado al-Shabaab hawajatuma kwenye Twitter
nyaraka kama hizo.
nyaraka kama hizo.
Hata hivyo, waraka wenye tarehe 27 Machi unaodaiwa ni kutoka serikali ya
Qatar unaopendekeza kwamba afisa wa Somalia ateuliwe kuwa
mkuu wa operesehni za kiintelijensia, ulitumwa katika ukurasa wa habari
wa tovuti ya Somalia tarehe 30 Machi. Uhalisia wa waraka huo haukuweza kujulikana, na
wala kuthibitishwa kwamba ilikuwa moja ya nyaraka ambazo
al-Shabaab wanadai kuwa nazo.
Qatar unaopendekeza kwamba afisa wa Somalia ateuliwe kuwa
mkuu wa operesehni za kiintelijensia, ulitumwa katika ukurasa wa habari
wa tovuti ya Somalia tarehe 30 Machi. Uhalisia wa waraka huo haukuweza kujulikana, na
wala kuthibitishwa kwamba ilikuwa moja ya nyaraka ambazo
al-Shabaab wanadai kuwa nazo.
"Al-Shabaab wanajulikana kwa mchezo mchafu na sasa wanachagua kila
mbinu chafu inayopatikana ili kupotosha maoni ya umma wa Somalia,"
alisema Abdiwahab Mohamed, mchambuzi wa masuala ya kisiasa
aliyeko Mogadishu, na ambaye pia ni mhadhiri wa chuo kikuu.
mbinu chafu inayopatikana ili kupotosha maoni ya umma wa Somalia,"
alisema Abdiwahab Mohamed, mchambuzi wa masuala ya kisiasa
aliyeko Mogadishu, na ambaye pia ni mhadhiri wa chuo kikuu.
Kikundi hakiwezi kuingia katika siri za serikali, na lengo nyuma ya kufanya
madai hayo ya uongo ni kunyanyua ari ya wapiganaji waliotupwa wa
al-Shabaab, aliiambia Sabahi.
madai hayo ya uongo ni kunyanyua ari ya wapiganaji waliotupwa wa
al-Shabaab, aliiambia Sabahi.
"Al-Shabaab siku zote wamekuwa wakisema uongo kupitia uenezaji wa madai
yasiyo na msingi," alisema. "Madai yao ya mwisho kwamba yamepata nyaraka za
siri kutoka kwa ofisi ya raisi, kwa kweli, ni sehemu ya propaganda ambayo
kikundi hiki kimeunda dhidi ya serikali ya Somalia."
yasiyo na msingi," alisema. "Madai yao ya mwisho kwamba yamepata nyaraka za
siri kutoka kwa ofisi ya raisi, kwa kweli, ni sehemu ya propaganda ambayo
kikundi hiki kimeunda dhidi ya serikali ya Somalia."
Al-Shabaab 'waachana na ukweli'
Madai ya uongo ya al-Shabaab ya kuwa yamepata nyaraka za siri ni
uthibitisho kwamba kikundi kimekuwa dhaifu katika kukusanya
habari za kiintelijensia na sasa kumeamua kueneza uongo na hatua
nyingine za kukata kwa tamaa ili kuficha nyuso zao, alisema
Faisal Osman, mchambuzi wa kisiasa za Somalia anayesimamia
kikundi cha wanamgambo.
uthibitisho kwamba kikundi kimekuwa dhaifu katika kukusanya
habari za kiintelijensia na sasa kumeamua kueneza uongo na hatua
nyingine za kukata kwa tamaa ili kuficha nyuso zao, alisema
Faisal Osman, mchambuzi wa kisiasa za Somalia anayesimamia
kikundi cha wanamgambo.
"Madai ya al-Shabaab ya kuweza kuifikia ofisi ya raisi ni ya uongo na
yanaonyesha majaribio ya kikundi ya kukata tamaa ili kupindisha nadhari
za watu kutoka kushindwa kwao mfululizo katika uwanja wa vita,"
Osman aliiambia Sabahi.
yanaonyesha majaribio ya kikundi ya kukata tamaa ili kupindisha nadhari
za watu kutoka kushindwa kwao mfululizo katika uwanja wa vita,"
Osman aliiambia Sabahi.
"Baada ya kuwa al-Shabaab wamedhoofishwa kijeshi na kushindwa katika
uwanja wa mapambano, kinatafuta kujionyesha kama kikundi
kilichoungana
na chenye nidhamu ambacho kina uwezo wa kiintelijensia ambao
usingepaswa kudharauliwa," alisema. "Kwa kweli, hata hivyo, kiko
dhaifu kimsimamo wa operesheni na njia zao za kukusanya habari za
kiintelijensia."
uwanja wa mapambano, kinatafuta kujionyesha kama kikundi
kilichoungana
na chenye nidhamu ambacho kina uwezo wa kiintelijensia ambao
usingepaswa kudharauliwa," alisema. "Kwa kweli, hata hivyo, kiko
dhaifu kimsimamo wa operesheni na njia zao za kukusanya habari za
kiintelijensia."
Abdirahman Mohamud, mchambuzi wa siasa anayefuatilia vikundi
vyenye siasa kali, alisema kuwa madai ya uongo ya al-Shabaab ni
"pigo kubwa kwa kuaminika wa kikundi".
vyenye siasa kali, alisema kuwa madai ya uongo ya al-Shabaab ni
"pigo kubwa kwa kuaminika wa kikundi".
"Wale wenye dhamana ya chombo cha propaganda cha kikundi ni
wapuuzi sana kwa vile wasingeweza hata kugundua waraka huu, ambao
wanauita wa siri na ambao ulipenya kutoka afisi ya raisi, ni huu ambao
ulitumwa siku kadhaa kabla katika tovuti nyingine za Somalia," alisema.
"Hii inaonyesha kwamba watu hawa wametengana kabisa na ukweli."
wapuuzi sana kwa vile wasingeweza hata kugundua waraka huu, ambao
wanauita wa siri na ambao ulipenya kutoka afisi ya raisi, ni huu ambao
ulitumwa siku kadhaa kabla katika tovuti nyingine za Somalia," alisema.
"Hii inaonyesha kwamba watu hawa wametengana kabisa na ukweli."
Ahmed Aden mwenye umri wa miaka 58 na mtumishi huko Hiran, alisema
kuwa kwa muda mrefu al-Shabaab wamekuwa na tabia ya kusema uongo
katika vyombo vyao vya habari vya kampeni, kwa hivyo hakuna yeyote
anayeamini madai yaliyotolewa na kikundi hicho cha wanamgambo.
kuwa kwa muda mrefu al-Shabaab wamekuwa na tabia ya kusema uongo
katika vyombo vyao vya habari vya kampeni, kwa hivyo hakuna yeyote
anayeamini madai yaliyotolewa na kikundi hicho cha wanamgambo.
"Tabia za al-Shabaab ziko mbali na mantiki yoyote kwa kuwa kikundi hiki
kimezoea kusema uongo katika njia mbaya sana," Aden aliiambia Sabahi.
"Aina hii ya propaganda mbaya zitakwama na hakuna mtu atakayesikiliza
kikundi hiki."
kimezoea kusema uongo katika njia mbaya sana," Aden aliiambia Sabahi.
"Aina hii ya propaganda mbaya zitakwama na hakuna mtu atakayesikiliza
kikundi hiki."
Kikundi cha wanamgambo kimeshindwa kuzipata nyoyo na akili za
watu wa Somalia kwa sababu kimekuwa kikiwashambulia raia wasio na
hati ya mfululizo kwa milipuko ya mabomu na mauaji ya kulenga, alisema.
watu wa Somalia kwa sababu kimekuwa kikiwashambulia raia wasio na
hati ya mfululizo kwa milipuko ya mabomu na mauaji ya kulenga, alisema.
No comments:
Post a Comment