Friday 24 May 2013

ASKARI WA UK AULIWA MJINI LONDONI, WAUAJI WAACHA UJUMBE MZITO !!!

Askari wa Kiingereza Auliwa Mjini London Wauaji Waacha Ujumbe.
Ilikuwa si kitu cha kutegemea ingetokea Mchana kwepu katikati ya jiji la London Uingereza kuwa angeuliwa Askari wa Jeshi la Britain inayoendeleza mradi wa kupambana na uislaam.
Habari kutoka Uingereza zinaeleza kuwa mtu aliyejihami na Panga amemshambulia Askari wa Kiingereza karibu na kituo cha Polisi Kusini mashariki mwa jiji la london.
Vyombo vya habari vya hapa uingereza zinaeleza mtu mmoja muislaam amemshambulia kwa Panga na hatimae kuzitenganisha Kichwa na kiwiliwili cha Askari wa kiingereza,picha ya askari aliyeuliwa inaonyesha kichwa chake kupigwa panga vibaya na kusababisha kifo chake.
Watu walioshuhudia wanasema mwuaji alikuwa akitamka maneno kama "Mauaji mnayowafanyia ndugu zetu Afghanistan na waislaam ndio kilichonisukuma kufanya kitendo hichi,na wala hamtoishi kwa usalama kama mnaenedela kuwashambulia Waislaam,na namwua Askari huyo kwajili ya kulipiza kisasi kwa ndugu zangu waislaam wanaouliwa huko Afghanistan"alisema shujaa aliyefanya mauaji ya Askari.
Polisi mjini London wanasema watu wengine 3 wamejeruhiwa na haijulikana watu hao walijeruhiwa kwa risasi au la,na Sirikali ya Nchi hiyo wanaficha kitendo hicho na wapi aliko Mwauaji wa shambulio la Askari.
Mtaa uliofanyika tukio la mauaji wakazi wake wengi ni Jamii ya kisomali na mtaa huo unajulikana kwa Woolich,Magazeti ya nchi hiyo wameandika na kuizungumzia saana tukio la jana la kuuliwa kwa Askari wa Kiingereza,Baadhi ya Magazeti ya nchi hiyo wanaihusisha kitendo hicho na wasomali waishio mtaa huo lakini mpaka sasa hakuna uthibitisho wa nani aliyehusika.
Sirikali ya Uingereza imelitaja shambulio hilo kuwa ni kitendo cha Kigaidi,nae waziri mkuu wa Nchi hiyo Davi camiron ameilaani mauaji ya askari wake.
Watu waliokuwa karibu wamesema waliwaona watu hao waliofanya mauaji ya askari na huko mikono yao ikiwa imejaa damu na baadae kusema "tunasikitika muyashuhudie tukio kama hili nyinyi wanawake lakini kila siku wanajeshi wenu wanaua kama hivi kule Afghanistaan muyalaumu sirikali yenu isiyo na manufaa kwenu"
Tukio hili limewakumbusha wengi kule France mwaka jana aliposhambulia Mohamed Al Marah ktk mji Talooz Nchini France

No comments:

Post a Comment