Wednesday 22 May 2013

MPAKA KIWELEWEKEE !!!

Jumuiya ya UAMSHO na Mihadhara ya Kiislamu-Zanzibar inapenda kuwatangazia Waislamu wote wanawake na wanaume kua, kutasomwa DUA MAALUM siku ya Ijumaa tarehe 24 Mei, 2013 katika msikiti wa Sokoni - Mwanakwerekwe, mara baada ya sala ya Ijumaa insha Allah.

Lengo la DUA hii ni kumuomba Mwenyezi Mungu awape Shekhe zetu ithbati kwa dhulma wanazofanyiwa na kuwa na subira pamoja na familia zao katika wakati huu mgumu. Dua hii itasomwa vile vile katika mikoa yote ya Unguja na Pemba Inshaa Allah. Shime sote tuhudhurie.

TUNATAKA ZANZIBAR YETU HURU, YENYE MAMLAKA YAKE KAMILI, KITAIFA NA KIMATAIFA
WABILLAH TAUFIQ

UAMSHO MEDIA CENTER
12 Rajab, 1434 – 22 Mei, 2013
Email: jumiki@hotmail.com
Facebook: Uamsho Zanzibar
Twitter: @Uamsho1

No comments:

Post a Comment