Sunday 9 June 2013

WAZANZIBAR WAANZA KUIGA CCM BAADA YA KUKOSA MWELEKEO YA KUDAI ZANZIBAR YENYEWE MAMLAKA KAMILI !!!





Mamiya ya wasuasi wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar huko matemwe wamemkabizi Maalim Seif Sharif Hamad zao za CCM na kujiunga na Wazanzibar wenziwao kudai Zanzibar yenye mamlaka kamili ,
 Kiasi cha watu mia saba wamekabidhiwa kadi za CUF na makamo wa kwanza wa raisi wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad baada ya kubaini kwamba chama cha CCM kimeshindwa kutetea maslahi ya Zanzibar katika mchakato wa mabadiliko ya katiba na badala yake kimekuwa kikiutetea ukoloni wa Tanganyika dhidi Zanziabar

No comments:

Post a Comment