Tuesday 25 June 2013

MWAKILISHI WA CCM ZANZIBAR NI RAIA WA KENYA ,JIMBO RAHALEO

Usitukane wakunga na uzazi ungalipo, iweje leo raia wa kenya anakuwa Mwakilishi wa CCM katika jimbo la rahaleo, ama kweli Muungano umetupandikizia wageni wengi kiasi watoke majasho Barazani kuutetea Muungano. 

Mmemuona Mhe Nassor Salim Ali Jazeera wa Kisauni Mombasa

No comments:

Post a Comment