Wednesday 28 August 2013

TANGAZO KWA WAZANZIBAR WAPENDWA WENYE KUTAKA ZANZIBAR YENYE MAMLAKA KAMILI !!!

Tulikua kwenye kona sasa tupo kwenye barabara kuu,mwendo mdundo.

Ile safari ya kuelekea jamuhuri ya wati wa zanzibar yenye mamlaka kamili inaendelea.

Usikose kuhudhuria ukimbi wa Salama Hall Bwawani jumamosi ya tarehe 31/08/2013 saa 2:00 asubuhi.

Shujaa wa Zanzibar mtoto wa mwana mapinduzi Mansour Yussuf Himed atanguruma akishindikizwa na Ismail Jussa Ladhu .

Mzee Hassan Nassour Moyo atakuwepo na kamati ya maridhiano itatoa tamko lake juu ya mamlaka kamili ya Zanzibar.

Zanzibar jamuhuri inachomoza.
Jamuhuri ya watu wa Zanzibar kwanza.

No comments:

Post a Comment