Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri Evalist Mush amekamatwa Zanzibar !
Mtu anaye sadikiwa ndiye Muaji ya Padri Evalist Mushi wa kanisa katoliki nchini Zanzibbar ,amekamatwa
mchana huu maeneo ya kariakoo,
Jeshi la Polisi limethiditisha kwa kukamatwa kijana huyo mwenye umri wa wastani wa 30 -40,na kwenda
nae kituoni kwa mahojiano zaidi ,
Padri Evalist Mush aliuawa kwa kupigwa risasi mwenzi uliopita ,wakati akiwa kwenye gari lake kuelekeya
kanisani kwa shughuliya ya ibada ya kikanisa .
kuwa nami !!!!!!
No comments:
Post a Comment