Friday 29 March 2013

INALILAH WAINA ILAYHI RAJIUN.


Hakika Sote ni wa Mwneyeenzi Mungu na marejeo yake ni kwake Napenda kuwatangazia kifo cha Sheikh wetu Rashid Nassor Al Batashi kilichotokea leo huko Hospitali ya Mnazi Mmoja na mwili wake utasaliwa katika Msikiti wa Jumuiya ya Waarabu Rahaleo baada ya sala ya Ijumaa na maziko yake yatafanyika nyumbani kwake Mlandege. Inshallah Mwenyeenzi Mungu amrahisishie safari yake na ampe kauli thabit. Ameeen

No comments:

Post a Comment