Hakukuthibitishwa kuonekana mwezi kisheria, na kwa hivyo leo jumanne 9 julai 2013 tunakamalisha Shaaban. Ramadhani itaanza kesho InshaAllah Jumatano 10 julai ambayo itakuwa Ramadhan mosi 1434 InshAllah.
Tunamuomba Allah Tala atuwafikishe kupata maghfira na baraka za Ramadhan sote umma mzima - Ameen
No comments:
Post a Comment