Tuesday 9 July 2013

KARIBU MWENZI MTUKUFU WA RAMADHAN !!!

Hakukuthibitishwa kuonekana mwezi kisheria, na kwa hivyo leo jumanne 9 julai 2013 tunakamalisha Shaaban. Ramadhani itaanza kesho InshaAllah Jumatano 10 julai ambayo itakuwa Ramadhan mosi 1434 InshAllah.
Tunamuomba Allah Tala atuwafikishe kupata maghfira na baraka za Ramadhan sote umma mzima - Ameen

No comments:

Post a Comment