Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema kupitia gazeti la MTANZANIA la leo kwamba yeye anaamini katika mfumo wa Muungano wa Serikali Moja na kwamba muundo wa Serikali Moja ndiyo suluhisho pekee la kero za Muungano.
No comments:
Post a Comment